Friday 15 November 2013

RATIBA YA MAZISHI YA DR. SENGONDO MVUNGI.


LEO, NOVEMBA 15, 2013 – UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU JK NYERERE



Saa 12:50 jioni
Kuwasili kwa mwili wa Marehemu – Uwanja wa Ndege wa Mwalimu JKN


KESHO, NOVEMBA 16, 2013 – VIWANJA VYA KARIMJEE


Saa 2:00 – 3:30 asubuhi
Kuwasili kwa Wageni, Wananchi na Waombolezaji

Saa 3:30 asubuhi
Kuwasili Mwili wa Marehemu

Saa 4:00 – 5:45 asubuhi
Ibada ya Misa Takatifu, Viwanja vya Karimjee

Saa 5:45 – 6:55 mchana
Salaam za Rambirambi na Neno la Shukurani


Saa 6:55 – 8:40 Mchana
Kuaga Mwili wa Marehemu


Saa 9:00 Alasiri
Msafara kupeleka mwili wa marehemu Kibamba Msakuzi


KESHO KUTWA, NOVEMBA 17, 2013 – NYUMBANI KWA MAREHEMU - KIBAMBA, MSAKUZI


Saa 2:30 – 4:30 asubuhi
Ibada ya Misa nyumbani kwa marehemu

Saa 5:00 asubuhi
Kuanza safari ya kwenda Chanjale, Kisangara Juu, Mwanga, Kilimanjaro.
Na huko ndipo yatakapofanyika mazishi ya Dr. Mvungi.

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors