Thursday 14 November 2013

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI NYUMBANI KWA MAREHEMU DR. SENGONDO MVUNGI HUKO KIBAMBA.

Rais Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Dr. Mvungi

Rais Kikwete na Mkewe Mama Salma wakimfariji mke wa Dr. Mvungu Anna Mvungi mwenye nguo nyeupe nyumbani kwa marehemu Kibamba.
Rais Kikwete  wa pili kutoka kushoto akiteta jambo na M/kiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba Jaji Warioba kushoto, wa pili kulia ni M/kiti wa NCCR - Mageuzi James Mbatia na kulia ni Mjumbe tume ya mabadiliko ya katiba na waziri mkuu mstaafu Salm Ahmed Salum

Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilali akimpa pole mke wa Dr. Mvungu Anna Mvungi alipotembelea kuwafariji nyumbani kwa marehemu Kibamba.
Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilal akisaini kitabu cha Mombolezo
M/kiti wa tume ya mabadiliko ya katiba Jaji Warioba akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Kibamba
Baadhi ya wajumbe wa Tume ya mabadiliko ya katiba wakitoa pole kwa mke wa marehemu

Baadhi ya viongozi waliofika nyumbani kwa marehemu Dr. Mvungi

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors