Saturday 30 November 2013

WABUNGE WA KAMATI YA UCHUMI VIWANDA NA BISHARA WAKIWA NA WAJUMBE WA KAMPUNI YA SGS DUBAI.

  Wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara wakiendelea na ziara yao Dubai walikutana na wajumbe wa Kampuni ya SGS ambayo inajishughulisha na ukaguzi wa ubora wa bidhaa  kabla hazijafika nchini Tanzania.
   Na hapa walikua katika picha ya pamoja (wajumbe na staff  wa SGS Company) pamoja na waheshimiwa wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara.




No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors