Thursday 19 September 2013

PICHA ZA BIRTHDAY PARTY YA VICKY KAMATA.

[Repoted By Steven Mruma]  
  Tarehe 18 septemba ni Birthday ya Mbunge wa viti maalum Geita Mh. Vicky Kamata, katika siku hiyo ilifanyika paty ya Kumpongeza iliyofanyika nyumbani kwa Shangazi yake Tabata na kisha sherehe hiyo kuhamia Karambezi Sea Cliff Hotel.

   Picha za party iliyofanyika Tabata

zawadi ya keki kutoka kwa Glory
Kata keki tule

Glory akimlisha Mama Keki

Mama akimlisha mwanae Glory Keki



Mambo yalikuwa ni kugonga Chears
Chears, Kutoka Kulia Marry Anicet, na Wadogo Zake Enock Calvin Na Jona

Part ikahamia Karambezi Sea Clif Hotel 

Keki iliyoandaliwa na Sea Clif Hotel
Akifurahia Zawadi kutoka kwa Marafiki zake, Caro Mushi, Rita Mmuya, na Grace Machangu.
Picha Nzuri, akifurahia zawadi kutoka kwa Waheshimiwa Wenzake
"Kata keki tulee"
Caroh Mushi.
Naibu waziri wa Ujenzi Mh. Lwenge

Marafiki zake wapendwa, Naibu waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia na watoto Mh. Ummy Mwalimu na Mbunge wa vijana Mh. Neema Hamidi.
Rita Mamuya wa Benki Kuu [wa kwanza kulia] na weheshiwa Wabunge na Manaibu waziri.

Wakiwa katika furaha
Akipokea zawadi kutoka kwa marafiki. kutoka kushoto ni Mh. Dr. Charles Tizeba Naibu waziri Uchukuzi, Mh. Ummy Mwalimu, Mh. Neeama Hamid, Mh. Lazaro Nyarandu Naibu waziri Maliasili na Utalii [haonekani pichani]. na Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Lwenge wa kwanza kulia.
Wakifurahia pamoja
 Mbunge Viti Maalum Geita Mh.Vicky Kamata Aliyezaliwa Leo
Mh.Ummy akifuurahi

Dada Yetu Grace Machangu mwenye tabasamu
Dada yetu Caroh Mushi na Tabasamu zito
Naibu waziri Ujenzi Mh. Lwenge
Mh. Dr Tizeba
Mh. Neema Hamid







No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors