Monday 23 July 2012

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI MJINI BEIJING-CHINA

 Mh. Vicky Kamata akiwa na Dr.Behnam Tai ambaye ni Director wa AUS-HS Australia,ambaye pia alikuwa ni mfanyakazi wa United Nations(UN-Habitat).Mbali na wadhifa huo Dr Behnam Tai ni Professor katika chuo cha NEW SOUTH WALES,Sydney.Na ndiye alikuwa coordinator wa ziara hii mjini Beijing

 Kutoka kushoto ni Mr. Jacob Mayalla,Mh. Vicky Kamata, Dr Behnam Tai na Mh. Suma ambaye ni mbunge wa Tabora mjini

 Mh. Vicky Kamata akiwa katika picha ya pamoja na Dr. Behnam Tai na Ms. Shirley ambaye ni mmoja wa Coordinators wa AUS-HS Beijing,China
 Mh Mfutakamba(kushoto) akiwa na kijana wake Hamisi Mfutakamba anayesomea Engineering mjini Beijing katika picha ya pamoja na Mh Vicky Kamata

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors