Wednesday 19 December 2012

KUKAMATWA KWA MWIZI MKUU WA MAGARI NA VIFAA VYA MAGARI

 Rama Jangiri ambaye ndiye kiongozi wa genge la waiba vifaa vya magari jijini Dar.


Hili ndiyo tukio halisi la kukamatwa kwa Rama Jangiri akiwa kwenye hotel ya Farway baada ya kufuatiliwa kupitia mtandao kufuatia tukio la wizi wa vifaa vya gari na pia Compyuta na simu kutoka kwenye gari la mmoja wa wakazi wa jiji la Dar ambalo sasa wamiliki wa magari wamekuwa na wasiwasi mkubwa kila wanapokuwa wamepaki magari yao kufuatia kushamirikwa wizi wa vifaa mbalimbali uliokuwa ukifadhiliwa na bwana Rama na kundi lake.
Rama Jangiri akifikishwa kwenye kituo cha Polisi Mbezi Juu mara baada ya kukamatwa.
 
 
 
 
Picha na teentz 

 


No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors