Wednesday 19 December 2012

ANASWA NA NDUMBA MAHAKAMANI


Mganga wa kienyeji aliyefahamika kwa jina la RAJAB ZUBERI (30), mkazi wa Kerege, Muheza, Tanga, akiwa chini ya ulinzi wa Wanausalama  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, baada kifaa cha upekuzi kumnasa mganga huyo akiwa na vifaa vyake vya uganga ambavyo alikuwa amekuja navyo mahakamani hapo kwa ajili ya kufanyia mambo ya kishirikina katika kesi moja inayomkabili  mmoja wa washtakiwa mahakamani hapo. 

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors