Friday 30 November 2012

CATHERINE FOUNDATION YAZINDULIWA JIJINI ARUSHA LEO


Mbunge wa Viti Maalum -CCM,Mh. Catherine Magige akiwa na baadhi ya wadau wakati wakibadilishana mawazo kabla ya kufanyika kwa uzinduzi wa Catherine Foundation kwenye viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mapema leo Asubuhi.Pamoja na Uzinduzi huo wa Catherine Foundation pia iliweza kutoa msaada wa baskeli kwa walemavu wa wilaya ya Arusha.


Mbunge wa Viti Maalum,Umoja wa Vijana CCM,Mh. Catherine Maggige akisoma taarifa ya Foundation yake ilivyoanza kazi mbele ya Mgeni Rasmi ambaye alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Arusha,Mh. John Mongela na kuhudhuriwa na Wananchi mbalimbali wa jijini Arusha leo.

Mkuu wa Wilaya ya Arusha,Mh. John Mongela (kushoto) na Mbunge wa Viti Maalum,Umoja wa Vijana CCM,Mh. Catherine Maggige wakisukuma Baiskeli za walemavu wakati wa kukabidhi Baiskeli hizo kwa walemavu watatu kwa niaba ya walemavu 20 waliopewa Msaada huo.


Picha na Ahmed Mahmoud

1 comment:

Anonymous said...

Ӏ loved as much as уοu'll receive carried out right here. The sketch is tasteful, your authored material stylish. nonetheless, you command get bought an impatience over that you wish be delivering the following. unwell unquestionably come further formerly again as exactly the same nearly very often inside case you shield this hike.
My webpage: diablo 3 gold

GEITA DOCUMENTARY

Contributors