Saturday 13 October 2012

VURUGU ZA WAISLAMU MBAGALA KATIKA PICHA.!!


Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiandamana kupinga kitendo cha kijana Emmanuel Josephat anayedaiwa kunajisi Quran.
Waandamanaji hao waliamua kufunga barabara kwa kuwasha matairi ya magari moto


Askari wa kutuliza ghasia wakiwa na baadhi ya watuhumiwa katika maandamano hayo

Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia(FFU) wakiwa kazini kudhibiti vurugu hizo

1 comment:

Anonymous said...

What's up, I check your blog daily. Your story-telling style is awesome, keep it up!
Also visit my blog post ; fiestaonline.gamigo.com

GEITA DOCUMENTARY

Contributors