Thursday 11 October 2012

JOKATE AZINDUA 'KIDOTI'

 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kidoti Jokate Mwegelo akizungumza wakati alipozindua rasmi kampuni hiyo inayojishughulisha na Uuzaji wa Nywele za Style mbalimbali Ubunifu wa mavazi ambapo ameongeza kuwa nywele hizo zimejaribiwa na kukidhi matakwa ya kudumu, kuweza kutumiwa tena na tena, uzito pamoja na msokotano na zitakuwa zikipatikana katika mitindo na urefu mbalimbali zitazotumiwa na wasichana na kinamama.
Ameongeza kuwa Nywele hizo pia zitawafikia watu wa mikoani pia.
 
Afisa Mkuu Mtendaji wa Kidoti Jokate Mwegelo akitambulisha timu ya watu anaofanya nao kazi katika Kampuni yake kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa.
Pichani Juu na Chini ni Models wakionyesha aina tofauti za Nywele za Kidoti zinazotengenezwa na Darling Tanzania.
Selita Style.
Hii ni aina ya Nywele inayoitwa Jokate,
Aina ya Nayomi.
Models katika picha ya pamoja mbele ya wageni waalikwa.
Meneja Masoko wa Kampuni ya Kidoti Peter Kasiga akielezea ubora wa Nywele hizo na bei zake kwa wageni waalikwa na wandishi wa habari waliohudhuria uzinduzi huo leo jijini Dar es Salaam.
 
 
picha na habri kwa hisani ya //lukemusicfactory.blogspot.com 

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors