Friday 13 April 2012

MAONYESHO YA SABA YA VYUO VIKUU KUANZA APRIL 18


Maonyesho ya saba ya vyuo vikuu yatafanyika kuanzia tarehe 18 hadi 20 mwezi Aprili mwaka 2012 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Upanga Dar es Salaam.
Mgeni rasmi atakuwa Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr. Gharib Bilali.
Maonesho yatakuwa yanafunguliwa saa tatu kamili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili jioni kila siku.
       'HAKUNA KIINGILIO NA WOTE MNAKARIBISHWA'

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors