Friday 23 March 2012

Marekebisho ya Anuani ya Victoria Foundation


Victoria Foundation inapenda kuomba radhi kwa makosa ya uchapishaji
Yaliyofanyika katika graphic iliyotumika kwenye blog ya Issa Michuzi
Kutoa shukrani kwa Wafadhili wa Victoria Foundation tarehe 22.03.2012
Katika graphic hiyo inaelekeza kimakosa kuwa ofisi zetu zipo Uhuru Street
Mnazi Mmoja.Taarifa sahihi ni kwamba ofisi zetu zipo Nkrumah Street,
LIDA HOUSE, 2nd Floor.

    "TUNAOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE ULIOJITOKEZA"

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors