Friday 10 March 2017

MH. VICKY KAMATA APOKEA TUZO YA HESHIMA KWA KUPIGANIA HAKI ZA WANAWAKE

Na Steven Mruma 

   Mh. Vicky Kamata Likwelile amepokea tuzo ya heshima kwa kutambulika kwa mchango wake mkubwa alio uonyesha kwa jamii ya wanawake wa Tanzania na kanda ya ziwa kwa kupitia nafasi zake aizonazo kama Mbunge, lakini pia kama mwanamuziki hasa kupitia wimbo wake wa "Wanawake na Maendeleo" na pia kupitia tasisi yake ya Victoria Foundation. 
   Tuzo hizo zimetolewa na NITETEE WOMAN AWARD hafla iliyofanyika jijini mwanza na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wanawake akiwemo naibu waziri wa nyumba na maendeleo ya makazi Angeina Mabula









No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors