Monday 27 October 2014

PICHA ZA SAFARI KUELEKEA MAHAFALI YA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NYAMISATI RUFIJI MKOANI PWANI

Na Steven Mruma, Nyamisati
  
Ilikua ni siku ya ijumaa tulianza safari kuelekea Nyamisati rufiji mkoani Pwani kwa ajili ya maandalizi ya mahafali ya Shule ya sekondari ya wama nakayama.
    tuliwasili jioni na kupokelewa na uongozi wa shule na kukaa pamoja kujipanga na maandalizi ya ya mahafali hayo.

Jioni ya Ijumaa tuliwasili Nyamisati

na Tulishuhudia mandahri nzuri ya sule ya Wama nakayama ilivyo safi na nzuri

mandhari ya shule na kwa mbali wanafunzi wakiendelea na usafi

baadhi ya majengo ya madarasa

eneo lingine la madarasa
Mh. Vicky kamata akisaini kitabu cha wageni

kushoto ni Mkuu wa Shule ya Wama nakayama wakijadili namna ya kujipanga na maandalizi ya mahafali.

mara baada ya kusaini kitabu cha wageni msafara wetu wa watu wanne yaani Bahati Samsoni kushoto Mh. Vicky katikati na Mtumishi wa Mungu Paul Msyangi Kulia na Nyuma ya Camera ni Steven  Mruma tulitembea maeneo mbalimbali ya shule kujione mandhari nzuri shuleni hapo.

usiku ulipoingia wanafunzi walikutana eneo la bwalo na tulianza na mazoezi ya nyimbo na kucheza yakiongozwa na Mh. Vicky
Kesho yake asubui tuliamka mapema na tuliwakusanya wanafunzi na kuafanya mazoezi kwa siku ya pili

wakati tunasubiria wanafunzi watoke breakfast tulikua tunapewa mawaidha na Mh. Vicky Kmata na hapa ilikua zamu yangu.


muda wa mazoezi ulifika na mazoezi yalizna kama kawaida.

Mh, Vicky akifatilia kwa karibu mazoezi


mazoezi yakiendelea.
hapa alijumuika nao na alionyesha namna gani yuko vizuri kwa kucheza na sio kwa kufundisha tu

ilikua ni burudani kwa sisi waangaliaji

baada ya mazoezi tuliamua kutembelea kijiji cha Nyamisati na hapa tulikua tunapata Ugali mlenda samaki na maharage.

pamoja na meza kuchafuka kwa misosi lakini gharama zote zilikua 6000/= tu

msosi ukiendelea 

baada ya msosi tulienda kijiwe cha madafu kushushia



hapa tulitaka kuvuka mto huu kuelekea kijiji jirani beach lakini daah niligoma sipendi sana kusafiri majini


majadiliani yakiendelea jinsi ya kwenda beach mimi nilizidi kuweka mgomo baridi

tukaamua kurudi kijiwe cha madafu na kuendelea na kazi ya kunywa madafu
mzee muuza madafu akiendelea kutuhudumia

na jioni tuliamua kutafta sehemu ya kupunzika na tuliendelea kujadili mambo mbalimbali kusubiri siku ya mahafali yaani siku inayofatia.

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors