Friday 22 August 2014

TANZIA: MKURUGENZI WA TISS MSTAFU [USALAMA WA TAIFA] AFIWA NA DADA YAKE ANGALIA BAADHI YA PICHA ZA MAZISHI

Na Steven Mruma [ Bunda-Mara]
      Hivi majuzi aliyewahi kua Naibu mkurugenzi Usalama wa Taifa [TISS] Ndugu Jack Zoka alipata msiba mkubwa kwa kufiwa na dada yake mkubwa aitwaye Wakuru Mugendi kilichotokea huko mkoani mara.
      Mazishi yalifanyika huko kijijini kwao Changuge Bunda mkoani Mara huku Baadhi ya Viongozi akiwemo Mh. Vicky kamataMbunge Viti maalum Geita RSO wa Mwanza Meja Jason M. na Mzee Selemani Kikwete. 

   ZIFUATAZO NI BAADHI YA PICHA ZA SIKU YA MAZISHI 

kutoka kushoto ni Ndugu Jack Zoka, Mzee Suleiman Kikwete, Mh. Vicky Kamata na Mama mdogo wa Vicky kamata aitwaye Helena Suleiman

 Jacky Zoka ambaye ni Kaka wa Marehemu akiwa na waombolezaji wakati wa Mazishi.

Baadhi ya waombolezaji wakiwa na simanzi wakifatilia ka ukaribu mazishi


RSO wa mkoa wa Mwanza Meja Jason akiteta jambo na Mh. Vicky Kamata

Mzee Suleiman Kikwete akiweka shada la maua juu ya kaburi la marehemu Wakuru Mugendi

Mama mdogo wa Mh. Vicky Kamata Helena Suleiman akiweka shada la maua katika nyumba ya milele ya Dada yetu kipenzi Wakuru Mugendi. 
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.. "Ameen"

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors