Saturday 8 March 2014

NDANI YA BUNGE LA KATIBA; MENGI YAMETOKEA LAKINI KUBWA NI KUPATA KATIBA MPYA YENYE MASLAHI KWA WATANZANIA NA VIZAZI VIJAVYO.


Posted By Steven Mruma [Dodoma]
   Bunge la katiba linaendelea mjini Dodoma yapo mengi yanatokea lakini lengo kubwa ni kuhakikisha katiba ya WATANZANIA yenye maslahi kwa Mtanzania inapatikana. Wakati bunge hili maalum la katiba likiwa limekumbwa na migongano ya hapa na pale lakini wananchi wanahitaji kitu kimoja tu kifanywe na Bunge hili maalum la katiba nalo ni kutengeneza katiba itakayo jali maslahi ya Watanzania wote....
Baadhi ya wajumbe wa Bunge maalum la katiba wakiwa katika moja ya vikao vya Bunge hilo maalum l;a katiba


Mh. Vicky Kmata na Mh. Anna Mkinda wakijadili Jambo katika moja ya vikao vya bunge la katiba
Mh. Anna Makinda akisisitiza jambo kwa Mh. Vicky Kamata 

1 comment:

Anonymous said...

Big business is for those who don’t know how to have a HUGE business.
I don't think I can pinpoint any one specific time.
If you are an advanced individual with vast knowledge for computers,
you can purchase an advanced lawn mowing software.

my webpage; john deere prices

GEITA DOCUMENTARY

Contributors