Tuesday 15 October 2013

PICHA: KILELE CHA MBIO ZA MWENGE PAMOJA NA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE MKOANI IRINGA.

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania akiwasili uwanja wa CCM Samora mjini Iringa huku akishangiliwa na umati wa watu waliohudhuria kilele cha mbio za mwenge na kumbukumbu ya Mwl. Nyerere yaliyofanyika kitaifa Mjini Iringa.
Wananchi wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika uwanja wa CCM Samora

Madereva wa Bodaboda na Bajaj hawakuwa nyma kumuenzi Mwl Nyerere.
Mabalozi wa nchi mbalimbali wakifuatilia kwa ukaribu Kilele cha mbio za mwenge na Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere
Mabalozi wa nchi mbalimbali.
Viongozi wa madhehebu ya Dini zote pia walihudhuria kuonyesha mshikamano na umoja wa Watanzania bila kujali itikadi zao za Kidini..

Watoto wa halaiki wakitoa burudani ya aina yake
Makamanda waliokuwa viongozi wa mbio za mwenge wakionyesha ukakamavu wa hali ya juu.
Rais Kikwete akipita karibu na bango lenye kauli mbiu ya Maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwl. Nyerer na kilele cha mbio za mwenge
Rais Kikwete akihutubia wananchi

Hotuba ya Rais Kikwete ikiendelea
Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Bwana Juma Ali Simai akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Rais Jakaya Kikwete

Rais Kikwete akiwa na makamanda waliokimbiza Mwenge nchi nzima.


Rais Kikwete akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikalia na viongozi wa Dini

 Picha na viongozi wa taasisi mbalimbali waliofaniisha sherehe hizi

Rasi Kikwete akiwapongeza Watoto wa halaiki.
Picha na walimu wa Halaiki

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors