Sunday 11 August 2013

Mh. VICKY KAMATA NA VICTORIA FOUNDATION KWA UJUMLA WAWAPONGEZA WAISLAM DUNIANI KOTE

Mh. Vicky Kamata
 Familia ya Mh. Vicky Kamata
     Ikiwa ni siku moja baada ya sikukuu ya IDI el fitri Familia ya  Mh. Vicky Kamata ambaye pia ni mbunge wa viti maalum Geita pamoja na Mfuko wake wa VICTORIA FOUNDATION, wamewapongeza waislamu wote duniani kwa kusheherekea sikukuu ya IDI EL FITRI kwa amani na utulivu.  Akitoa pongezi hizo Mh. Vicky alisema "huu ni mfano wa kuigwa katika kila sikukuu ili kuweza kulinda amani ya taifa na Dunia kwa ujumla.."   
        Waislamu wote duniani siku ya Ijumaa na Jumamosi walisheherekea sikukuu hiyo baada ya kumaliza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.. sikukuu hiyo huadhimishwa na waislamu wote duniani kila mwaka na huendana na mwandamo wa mwezi...


No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors