Sunday 11 August 2013

MAMA TUNU PINDA ALIPOTEMBELEA WANAKIJIJI WA ZEGERO

Hivi karibuni mke wa Waziri mkuu Mama Tunu Pinda aliwatembelea wanakijiji wa kijiji cha Zegero ambapo alikutana na viongozi wa serikali ya kijiji akiwemo mwenyekiti, mtendaji wa kijiji na wajumbe...
   katika ziara hiyo aliambatana na Mh. Vicky Kamata Mbunge Viti Maalum Geita,, Officer Mohamedi Mapunda Wa Jeshi la Polisi Makao Makuu na Afisa Kilimo na Mifugo wa Mh. Vicky Kamata Dr. Steven Mruma.. 

                    YAFUATAYO NI MATUKIO MUHIMU YA ZIARA HIYO KATIKA PICHA..
Mama Tunu Pinda akiwa na baadhi ya viongozi wa kijiji cha zegero na mh. Vicky Kamata walipotembelea wanakijiji hao.
Mama Tunu Pinda akisisitiza jambo mbele ya baadhi ya viongozi wa kijiji
Mama Tunu Pinda akifuatilia jambo na Mh. Vicky Kamata Na moja kati ya maofisa wa polisi inspecta Mohamedi Mapunda kulia
Mh. Vicky Kamata akishauri jambo mbele ya Mama Tunu Pinda na Officer M. Mapunda
officer Mohamedi Mapunda akishauri jambo
Mama Tunu Pinda akisalimiana na mmoja ya wanakijiji bwana Susatule..
Mama Tunu Pinda katika Picha ya pamoja na Afisa Kilimo na Mifugo wa Mh. Vicky Kamata Dr. Steven Mruma katikati na kulia ni Mh. Vicky Kamata
Mama Tunu Pinda na Baadhi ya Wajumbe wa Serikali ya kijiji
Mama Tunu PInda akirejea katka ofisi ya kijiji baada ya kukagua miradi mbalimbali ya wanakijiji..
Hapa akiwa na moja ya familia inayoishi Zegero
Akiwa nje ya hema ambalo pia ni moja kati ya sehemu ya malazi ya moja ya wanakijiji
 


akikagua moja ya hifadhi ya misitu ya kijiji hicho..

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors