Tuesday 23 October 2012

WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE WALIPOKAGUA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI



Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge maendeleo ya jamii wakiwa katika ziara ya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es salaam,wakipata maelezo kutoka kwa Mhandisi msimamizi kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Bw. Karim Mattaka. Katikati ni Mwenyekiti wa kamati hiyo ya Bunge Mh.Jenista Mhagama,na kulia kwake ni Mkurugenzi mkuu wa NSSF Dkt. Ramadhani Dau. Wakati kamati hiyo ilipo tembelea na kukagua mradi huo tarehe 18 - Oktoba - 2012

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors