Monday 26 April 2010

VICKY KAMATA ATUMBUIZA KATIKA HARAMBEE YA KUCHANGIA CCM

Mwenyekiti wa UWT Sophia Simba(kulia) akiwaongoza wanachama wengine wa CCM kumpongeza msanii Vicky Kamata alipotumbuiza wakati wa hafla ya kuzindua kampeni ya kukichangia Chama cha Mapinduzi kwa nia ya simu za mkononi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana jioni.Kampeni hiyo ilizinduliwa rasmi na Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete

1 comment:

Pastor William said...
This comment has been removed by a blog administrator.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors