Friday 11 June 2010

KARIBU TENA DR SIMPHO MOYO


Dr Simpho Moyo muwakilishi wa benki ya maendeleo ya Africa nchini Tanzania katika picha na Menaja Mahusiano na Itifaki wa Benki Kuu Mr John Kimaro, alipomtembelea ofisini kwake kwa lengo la kuaga kwani amemaliza muda wake kwa hapa Tanzania.DR Moyo ni Mzimbabwe anaeipenda sana Tanzania tunamtakia kila lililo jema katika kazi zake.


Nimebahatika pia kupiga nae picha.

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors