Friday 11 June 2010

Afrika Kusini yalazimisha sare na Mexico


Siphiwe Tshabalala akitandika mkwaju kuipatia Afrika Kusini goli la kwanza.

Wenyeji wa mashindano ya Kombe la Dunia, Afrika Kusini, wameanza michuano hiyo kwa matumaini baada ya kutoka sare ya 1-1 na Mexico.

Mexico wenye uzoefu mkubwa wa kucheza katika Kombe la Dunia walianza kwa kumiliki mpira kwa kipindi kirefu, lakini walishindwa kumalizia nafasi zilizopatikana.

Baada ya mapumziko, kocha wa Afrika Kusini, Carlos Alberto Parreira, alifanya mabadiliko kwa kumtoa Lucas Thwala na kumwingiza Tsepo Masilela.

1 comment:

Anonymous said...

Pretty section of content. I just stumbled upon your website and in accession capital to assert that I get actually enjoyed account your
blog posts. Any way I'll be subscribing to your augment and even I
achievement you access consistently rapidly.

Also visit my page ... house renovation ideas

GEITA DOCUMENTARY

Contributors