Tuesday 7 January 2014

HALI YA AFYA YA MTOTO JEREMIA ANAYELELEWA NA VICTORIA FOUNDATION INAZIDI KUIMARIKA "TUZIDI KUMUOMBEA".

Na Steven Mruma..

    Hali ya mtoto Jeremia anayelelewa na VICTORIA FOUNDATION inazidi kumarika baada ya madaktari kuufanyia uchunguzi mguu wake walioufanyia upasuaji wa kuweka vyuma mguuni miezi michache iliyopita, kuonyesha hali ya matumaini ya kupona. Akizungumza kwa furaha Jeremia aliomba watanzania wazidi kumuombea hali yake iimarike zaidi kwani inachangia kumrudisha nyumba kimasomo.
    Lakini kwasasa Jeremia anafurahia hali hiyo baada ya mguu wake huo kumsumbua kwa miaka kadhaa sasa bila matumaini ya kupona, Lakini Leo madaktari wamedhibitisha kuwa hali yake inaendelea vizuri na kuna matumaini makubwa sana ya kupona. Jeremia ni Moja kati ya watoto wanofadhiliwa [kulelewa] na Victoria Foundation.
M/kiti wa Victoria Foundation Mh. Vicky Kamata [kushoto] Jeremia [katikati] na Dr. Fulvio Franceschi ambaye ni MD. Orthipaedic Surgeon hospitali ya CCBRT

Jeremia [kushoto] na Dr. Fulvio Franceschi ambaye ni MD. Orthipaedic Surgeon hospitali ya CCBRT
Dr. Fulvio Franceschi ambaye ni MD. Orthipaedic Surgeon hospitali ya CCBRT, Jeremia na Dada Maria aliyemfanyia dressing Jeremia wakati alipokuwa Hospitali CCBRT.

Dada Maria aKImfanyia dressing Jeremia wakati alipokuwa Hospitali CCBRT.
Dr. Fulvio Franceschi ambaye ni MD. Orthipaedic Surgeon hospitali ya CCBRT Akichunguza kwa makini mguu wa mtoto  Jeremia.

Dr. David wa CCBRT Akiufanyia  X-Ray mguu wa Jeremia
Picha ya X-Ray ikiuonyesha mguu ulivyo sasa kwa ndani...

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors