Friday 1 February 2013

NAPE AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ILAGALA KIGOMA


 













Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akiangalia matunda ya Mchikichi ambayo yanachemshwa katika mapipa kwaajili ya kukamua mafuta ya mawese katika Kijiji cha Ilagala, Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.
 












Wana CCM wa Igalula wakiwa katika kikao cha ndani na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.













Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akikagua maendeleo ya ujenzi katika Kituo cha afya Ilagala.
 Nyumba ya Daktari wa Ilagala
 
Wakazi wa Ilagala wakimsikilaza Nape Nnauye













 Nape akihutubia wakazi wa Ilagala ambao walitoa kilio chao kuwa ni mgogoro wa ardhi baina ya Kijiji na Magereza .

Habari na ccmblog

1 comment:

Anonymous said...

Ι like the helpful infо you рrovіdе
in youг articles. I will bookmaгk your weblog and check again herе frequently.

I am quite cеrtain I ωill learn many neω ѕtuff right
here! Good luck for the nеxt!

my homepage: how to get rid of cellulite on thighs
my web page :: how to reduce cellulite

GEITA DOCUMENTARY

Contributors