Monday 26 August 2013

PICHA: HALI YA AMANI YAZIDI KUWA TETE NCHINI SYRIA,,"HALI INATISHA"

      Katik hali isiyo ya kawaida maelfu ya watu wanaendelea kupoteza maisha, huku wengine wakiambulia vilema vya maisha na wengine kuwa wakimbizi baada ya makazi yao kuharibiwa vibaya,, baadhi ya picha ilionyesha maiti nyingi zikiwa zimetapakaa mtaani.
       Lakini baya zaidi ni pale vijana wadogo sana wa makadrio kati ya miaka 12 hadi 17 wakiingia nao vitani na wengine wakionekana mitaani wakiw na silaha nzito kwa ajili ya mapambano..
   HII HALI NI TETE NA MBAYA SANA NA HILI NI SWALI LA KUJIULIZA SIASA ZA KWETU NAZO ZINAKWENDA WAPI?,

     HIZI NI BAADHI YA PICHA ZIKIONESHA HALI TETE  ILIYOPO NCHINI SYRIA KWASASA.

Watoto wadogo wakiwa Vitani
Umejenga nyumba kubwa kwa gharama na miaka mingi lakini dakika moja tu inakuwa sio nyumba tena ni kifusi..

Thamani ya nymba yoote lakini vita vimeileta hapa ilipo sasa
wanajeshi watoto wakishangilia mauaji kwao ni furaha akili na damu imebadilika na kua ya wanyama

hali ikiwa tete kila kona ya syria

watoto wakiwa na bunduki ya matoy zimekua kama manati tu kwao wakijianda kuingia vitani

Watoto wasiokuwa na hatia wanaendelea kuangamia kila kukicha kisa mtu mmoja amekataa kuondoka madarakani,, inauma sana

wanajeshi wakiendelea na uharibifu na mauaji hku wakifurahia wanachokifanya

Pata picha umentuma mwano dukani njiani anakutana na rocket ronger anafariki na hasa akiwa ni mwanao wa pekee, haya yamemkuta mtu huyu ambae hakufahamika mara moja

Mahali unapoishi panapokuwa kama Jehanam hapakaliki tena unakuwa mtumwa katika nchi yako mwenyewe
wanajeshi wakishangilia ushindi wa pili kulia akionekana bado ni kijana mdogo sana

Maiti kila kona ya mji mkuu wa syria kwa mbali nchi inaonekana kuwa saafi lakini hali ya mambo sasa imekua chungu na haikaliki tena

Kila mahali ni vita tu
Milipuko ya mabomu kila kukicha, na nchi inaendelea kuharibika vibaya..

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors