Friday 11 February 2011

Egypt ya leo

Hosni Mubarak ameamua kung'ang'ania tawi, ameongea kama vile yuko Mtwara. Hosni Mubarak anaonekana kutoelewa kinachoendelea Tahrir na kwingineko Egypt. WaMisri sasa wanaonekana kuwa hawana jinsi. Wataingia mitaani kukata mti. Kama ilivyo kawaida, ukubwa wa moto utakaowaka utaanza kupimwa baada ya swala ya Ijumaa hii leo.(Nam Mdau Maggid Mjengwa)

1 comment:

Anonymous said...

Good post. I learn something new and challenging on blogs I stumbleupon on a daily basis.
It's always interesting to read content from other writers
and use a little something from their websites.

my page: kitchen home improvement; homeimprovementdaily.com,

GEITA DOCUMENTARY

Contributors