Saturday 31 July 2010

Duh, kumbe kuku na yai wakwanza kutokea ni kuku!!!


Wanasayansi wa Ulaya wametatua ule uzushi wa kipi cha kwanza kutokea kati ya kuku na yai.
"Imekuwa ikizoeleka kufikirika kuwa yai lilikuja kabla ya kuku"
Watafiti kutoka Scotland na Uingereza walitumia Supercomputer iitwayo HECToR kwa kulchunguza gamba la yai la kuku na kugundua uwepo wa protein ambazo hutumika katika utengenezaji wa awali kabisa wa yai tumboni mwa kuku.Na protein hiyo hupatikana kwa kuku tu.
Kwa hiyo kuku alikuja wa kwanza na yai lilifuata.

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors