Na Steven Mruma
Watoto wawili wanaolelewa na Victoria foundation Ernest Masuuko Sunguye na Jeremia Julius walipata fursa ya kuwa pamoja na familia zao kwa muda huu wa likizo, watoto hao wanaosomeshwa na kupatiwa matibabu pamoja na huduma zote za msingi na mfuko Victoria Foundation wanasoma shule iitwayo Salvation Army English Medium iliyopo jijini Dar es salam.Watoto hao mmoja ambaye ni Ernest anaishi Genge Saba na Jeremia Anaishi Nungwe mkoani Geita.
Wa kwanza kufika kijijini alikuwa ni Jeremia na hali halisi ilikuwa hiuvi mara tu baada ya kuwasili kijijini.
![]() |
| Jeremia Julius |
![]() |
| Jeremia akishuka kwenye Gari alipowasili kijijini kwao, Nungwe mkoani Geita |
![]() |
| Akishuka kwenye Gari |
![]() |
| Mama yake Jeremia akiwa haamini kumuona tena mwanaye Jeremia |
![]() |
| Mama Jeremia akisalimiana na mwanaye |
![]() |
| Mama Jeremia akisalimiana na Mh. Vicky Kamata na hapa alikua akimuonyesha jeraha alilolipata mguuni. |
![]() |
| Mara tu baada ya kuwasili ndugu jamaa na marafiki walianza kukusanyika nyumbani kwa akina Jeremia |
![]() |
| Ndugu jamaa na marafiki wakiwa nyumbani kumsalimia Jeremia |
![]() |
| Mh. Vicky akiwa na furaha baada ya kupata ushirikiano mzuri kutoka kwa wanakijiji wa Nungwe |
![]() |


































