Monday, 9 December 2013

RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA UWANJA WA UHURU.

Bendera zikipepea nusu mlingoti ikiwa ni ishara ya kuomboleza kifo cha Mzee Nelson Mandela.
Rais Kikwete akiwasili uwanja wa uhuru katika maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika

Vikosi vya usalama katika gwaride la heshima kuadhimisha miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika.

Vijana wa vikosi vya usalama wakiwa kazini katka Gwaride la heshima la kuadhimisha miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika
Vikosi vya usalama katika gwaride la heshima.

Watoto wa halaiki wakitoa burudani ya aina yake katika maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru katika uwanja wa uhuru leo.
Dar es Salaam.
     Happy birthday Tanganyika’. Miaka 52 imetimia tangu Tanganyika (sasa Tanzania), kupata uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Kiingereza, Desemba 9, mwaka 1961.
Kama ilivyo ada, katika maadhimisho hayo yatakayofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, Rais Jakaya Kikwete anatarajia kukagua gwaride la vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama ambavyo pia vitatoa heshima kwa kiongozi huyo kwa mwendo wa pole na haraka. Baadaye kikosi cha anga kitatoa heshima zake na kufuatiwa na burudani mbalimbali ikiwamo ngoma na michezo ya halaiki. Sherehe hizo pia zitahudhuriwa na wageni mbalimbali waalikwa wa ndani na nje ya nchi, wakiwamo mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.
Katika sherehe hizo, Rais Kikwete hutoa msamaha kwa wafungwa na mwaka jana aliwasamehe wafungwa 3,814 waliokuwa na umri zaidi ya miaka 70, wenye ulemavu wa mwili na akili, magonjwa kama Ukimwi, kifua kikuu na saratani ambao wako kwenye hatua ya mwisho ya ugonjwa,
Wengine ni wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani na walioingia na watoto wanaonyonya na wanaotumikia kifungo kisichozidi miaka mitano ambao hadi siku ya msamaha, walikuwa wametumikia robo ya vifungo vyao.
Katika maadhimisho hayo mwaka jana, yaliyohudhuriwa na viongozi 14 wa kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Rais Kikwete aliwataka Watanzania kujivunia na kuyaenzi mafanikio ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yaliyopatika tangu nchi ilipopata uhuru.

Friday, 6 December 2013

R.I.P. NELSON ROLIHLAHLA (MADIBA) MANDELA, AMAZING MAN WHO CHANGED HISTORY IN SOUTH AFRICA.

      Na Steven Mruma wa www.stevenmruma.blogspot.com

      Makala hii maalum inahusu maisha ya aliyekuwa rais  wa Afrika Kusini Nelson Mandela aliyefariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 6/12/2013  baada ya kuugua kwa muda mrefu.

     Makala hii imeandikwa kwa lugha ya kiingireza lakini unaweza kuitafsiri kwenda lugha uipendayo ikiwemo kiswahili kwa Wenzangu watanzania, Makala hii itawafikia watu wengi dani na nje ya nchi ambao wengi hupata urahisi zaidi kutafsiri kutoka kiingereza kuliko lugha nyingine kama kiunganishi cha dunia. 

     Katika makala hii utakutana na maisha halisi aliyopitia Mzee Mandela katika harakati za kuikomboa Afrika Kusini maisha ya jela na jinsi alivyofanikiwa kuwa Rais wa Afrika kusini nk. sasa endelee


     Nelson Rolihlahla (Madiba) Mandela is an amazing man who changed history in South Africa and brought democracy to the nation. Nelson Mandela was born on 18 July 1918 at Qunu, near Umtata in South Africa. His father was the Chief Councillor to the Superior Chief of the Thembu. As a young boy, he was being prepared to take over as the Chief of the Thembu. With the death of his father in 1930, he was placed under the care of his guardian and cousin, David Dalindyebo, the acting Chief of the Thembu.
      While at home, a prepared marriage was being set up for him. To avoid getting married, Mandela and his cousin Justice moved to Johannesburg where he worked temporarily as a night watchman as he wanted to be a lawyer.In Johannesburg, Mandela met Walter Sisulu who assisted him in finding employment as articled clerk with a legal firm. When he completed his BA degree by correspondence in 1941, Mandela enrolled at the University of the Witwatersrand for an LLB.
The ANC (African National Congress)
     Together with Walter Sisulu and Oliver Tambo, Nelson Mandela helped in founding the African National Congress Youth League (ANCYL) in 1944. By 1948 he was holding the position of National Secretary. In 1949 the African National Congress (ANC) supported the 'Programme of Action' handed in at their annual conference. The more radical members such as Mandela and Sisulu were elected to the program.
      Mandela and Sisulu did not trust other racial groups, but Mandela’s views changed during the 1952 Defiance Campaign. Mandela was made the National 'Volunteer-in-chief' of the Defiance Campaign. As part of his duties he moved around South Africa signing up volunteers who were prepared to break apartheid laws. As their first sign of defiance against Apartheid, Mandela and 51 volunteers started breaking the curfew rules.In December 1952, Mandela and Oliver Tambo opened the first Black legal partnership in the country. In the same month, Mandela and some other activists were charted under the Suppression of Communism Act. Mandela was sentenced to nine months' imprisonment with hard labour, suspended for two years.

Over a period of nine years he was put under banning orders. In this time he was also made the Deputy National President of the ANC. Even though he was not allowed to attend the meetings of the ANC, he worked with small groups of the ANC members. Nelson Mandela played a major role in the constructing of the 'M Plan' (named after him). The plan formulated the grouping of ANC members to cope with underground activity. Renewed bans made it imperative for Madiba to resign from the ANC in September 1953. From that point Madiba had to lead secretly, except during the year of the Treason Trial.In December 1956 Mandela and 155 political activists were arrested and charged with High Treason. Almost five years later, Justice Rumpff found all of the accused not guilty. In the late 1950s Mandela became National President of the ANC Youth League. By 1959 the treason trial was still in progress. In the same year, the ANC planned an anti-pass laws campaign. The campaign was displaced when the Pan Africanist Congress (PAC), arranged mass anti-pass protests on 21 March 1960.

HIVI NDINYO UVCCM TAIFA WALIVYO ADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIA VIWANJA VYA BIAFRA KINONDONI

    Tamasha kubwa lililoandaliwa na UVCCM Taifs lililofanyika katika viwanja vya biafra kinondoni Jijini Dar es salaam lilikua la aina yake baada ya kutoa hamasa kubwa kwa jamii hasa vijana ambao pia walijitokeza kwa wingi katika tamasha hilo ambalo mgeni rasmi alikuwa M/kiti wa UVCCM Taifa Mh. Sadifa ambaye alipima virusi vya UKIMWI na kutoa hamasa ya vijana wengi kujitokeza kupima ili kujua afya zao.
    katika tamasha  pia lilisindikizwa na  wasanii maarufu wa bongo fleva waliotoa burudani nzuri ambyo ilikuwa ni kivutio kikubwa katika tamasha hilo.


Bango lililotangaza tanasha hilo
Meza kuu wakifuatilia burudani kwa umakini
Wanachi wakifuatilia tamasha hilo kwa makini katika viwanja vya Biafra
Wananchi wakifurahia moja kati ya burudani zilizokuwa zikitolewa na wasanii mbalimbali
Mh. Sadifa akipima virusi vya UKIMWI huku akiwa mwenye furaha na amani
Msanii Barnaba akitoa burudani
Recho akitoa burudani
Msanii Recho akitoa burudani.

Saturday, 30 November 2013

WABUNGE WA KAMATI YA UCHUMI VIWANDA NA BISHARA WAKIWA NA WAJUMBE WA KAMPUNI YA SGS DUBAI.

  Wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara wakiendelea na ziara yao Dubai walikutana na wajumbe wa Kampuni ya SGS ambayo inajishughulisha na ukaguzi wa ubora wa bidhaa  kabla hazijafika nchini Tanzania.
   Na hapa walikua katika picha ya pamoja (wajumbe na staff  wa SGS Company) pamoja na waheshimiwa wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara.




Thursday, 28 November 2013

PICHA ZA MH. VICKY KAMATA AKIWA KATIKA ZIARA YA KIKAZI DUBAI PAMOJA NA WANAKAMATI WENZAKE WA KAMATI YA UCHUMI VIWANDA NA BIASHARA.

          Habari na Steven Mruma.
      Kamati ya Uchumi Viwanda na Biashara wapo ziarani Dubai kujifunza mambo mbalimbali ya kiuchumi viwanda na biashara, moja kati ya wabunge waliopo katika kamati hiyo ni Mh. Mbunge wa Viti maalum Geita Mh. Vicky Kamata.

Hizi ni baadhi ya picha katika ziara hiyo.

Mh. Vicky akifuatilia kwa makini taarifa kutoka ubalozi Dubai

Balozi wa ubalozi  mdogo wa Tanzania  Dubai Bwana Omari Mjengwa [kushoto] na mkurugenzi mshauri wa uchumi na biashara Dubai Bwana Luhumbika [kulia] wakiwasilisha taarifa kutoka ubalozi wa Dubai.

Balozi  wa Tanzania Dubai Omar Mjengwa akiwasilisha taarifa kutoka ubalozi wa Dubai.
Picha ya pamoja katika ubalozi mdogo Dubai,
Waheshimiwa wabunge wanawake katika picha ya pamoja ubalozi mdogo Dubai
Mh. Vicky Kamata katika pozi ziarazi Dubai



Habari zaidi kuhusu ziara hiyo itapatikana katika blog hii muda si mrefu. endelea kuwa nasi......

Tuesday, 26 November 2013

TAZAMA PICHA ZA MAHAFALI YA MTOTO WA MH. VICKY KAMATA ALIPOHITIMU TOP CLASS.

Picha na Steven Mruma.

Glory akiwa na mama yake Mh. Vicky kamata mapema kabla ya mahafali kuanza
Glory akiwa na wanafunzi wenzake wakiandaliwa na walimu wao wa Tusime kwa ajili ya mahafali

Wanafunzi waliokuwa wahahitimu top class wakiimba wimbo

Wimbo unaendelea
Baada ya kupata zawadi Glory akiwa na rafiki yake wakiwa na nyuso za furaha,

Glory akiwa na zawadi zake
Glory akiwa katika pozi siku chache baada ya kujiunga na shule ya awali ya Tusime Nursery and primary English Medium.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors