![]() |
| Wananchi wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika uwanja wa CCM Samora |
![]() |
| Madereva wa Bodaboda na Bajaj hawakuwa nyma kumuenzi Mwl Nyerere. |
![]() |
| Mabalozi wa nchi mbalimbali wakifuatilia kwa ukaribu Kilele cha mbio za mwenge na Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere |
![]() |
| Mabalozi wa nchi mbalimbali. |
![]() |
| Viongozi wa madhehebu ya Dini zote pia walihudhuria kuonyesha mshikamano na umoja wa Watanzania bila kujali itikadi zao za Kidini.. |
![]() |
| Watoto wa halaiki wakitoa burudani ya aina yake |
![]() |
| Makamanda waliokuwa viongozi wa mbio za mwenge wakionyesha ukakamavu wa hali ya juu. |
![]() |
| Rais Kikwete akipita karibu na bango lenye kauli mbiu ya Maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwl. Nyerer na kilele cha mbio za mwenge |
![]() |
| Rais Kikwete akihutubia wananchi |
![]() |
| Hotuba ya Rais Kikwete ikiendelea |
![]() |
| Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Bwana Juma Ali Simai akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Rais Jakaya Kikwete |
![]() |
| Rais Kikwete akiwa na makamanda waliokimbiza Mwenge nchi nzima. |
![]() |
| Rais Kikwete akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikalia na viongozi wa Dini |
![]() |
| Picha na viongozi wa taasisi mbalimbali waliofaniisha sherehe hizi |
![]() |
| Rasi Kikwete akiwapongeza Watoto wa halaiki. |
![]() |
| Picha na walimu wa Halaiki |

















No comments:
Post a Comment