Monday, 4 February 2013
BREAKING NEWS: MOTO WATEKETEZA MADUKA KATIKA KITUO CHA MABASI MWENGE
Friday, 1 February 2013
NAPE AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ILAGALA KIGOMA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akiangalia matunda ya Mchikichi ambayo yanachemshwa katika mapipa kwaajili ya kukamua mafuta ya mawese katika Kijiji cha Ilagala, Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.
Wana CCM wa Igalula wakiwa katika kikao cha ndani na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akikagua maendeleo ya ujenzi katika Kituo cha afya Ilagala.
Nyumba ya Daktari wa Ilagala

Wakazi wa Ilagala wakimsikilaza Nape Nnauye

Nape akihutubia wakazi wa Ilagala ambao walitoa kilio chao kuwa ni mgogoro wa ardhi baina ya Kijiji na Magereza .
Habari na ccmblog
BREAKING NEWS: JAHAZI LAZAMA HUKO NUNGWI LIKIWA NA ABIRIA 32.
Jahazi la SUNRISE ambalo lilikuwa likitokea Mkoani Tanga kulekea visiwani Zanzibar ikiwa na abiria 32 limezama jana eneo la Nungwi huku jitihada za kuwaokoa abiria hao zikiendelea kufanywa na maafisa wa uokoaji mpaka sasa.
Tuesday, 22 January 2013
Friday, 18 January 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)




















