Thursday, 31 March 2011

RAIS ATEMBELEA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Maliasili na utalii wakati alipofanya ziara yake ya kikazi wizarani hapo.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi pamoja wafanyakazi wa Wizara ya maliasili na utalii wakati wa ziara yake ya kikazi Wizarani hapo. (picha na Freddy Maro)

RAIS KIKWETE AKUTANA NA KAMISHNA MKUU WA UMOJA WA MATAIFA WA HAKI ZA BINADAMU

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha ikulu Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu Bibi.Navanethem Pillay wakati alipomtembelea na kufanya mazungumzo naye. (Picha na FreddyMaro)

TUTALA MAKOMA KUTOKA UK AMTEMBELEA MHE.KAMATA

Tutala Makoma alipomtembelea Mhe.Vicky Kamata nyumbani kwake na kulia ni Mr Gorge kutoka Praise Power na katikati ni Groly binti wa Mhe.

Tutala na Groly
Mhe. Kamata, Tutala na mrembo Groly katika Pozi

Wednesday, 30 March 2011

BACK TO AFRICA WITH PENNY

ZANZIBAR KUSAMBAZIWA UMEME WA BILIONI 54 NA JAPAN

Balozi wa Japan hapa nchini Hiroshi Nakagawa akikabidhi mkataba wa mradi wa umeme kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha,Uchumi na Mipango ya Maendeleo Khamis Mussa


Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Japan zimetiliana saini kutekeleza mradi mkubwa wa usambazaji umeme katika Kisiwa cha Unguja utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 54 

Akitia saini mkataba wa msaada wa mradi huo leo Mjini Zanzibar, Balozi wa Japan hapa nchini, Hiroshi Nakagawa alisema pamoja na matatizo yaliyoikumba nchi yake, lakini bado kuna umuhimu wa kuisadia Zanzibar.

“Watu wengi hapa Zanzibar wanasumbuka kwa ukosefu wa umeme wa uhakika, bila shaka mradi huu utasaidia kupunguza mzigo kwa Shirika la umeme” Alisema Balozi Nakagawa.

WAZIRI MKUU APOKEA ZAWADI YA PICHA TOKA WIZARA YA MAJI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya picha yake iliyochorwa kutoka kwa Naibu Waziri wa maji, Gerryson Lwange (wapili kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Lwange Ofisni kwake jijini Dar es salaam Machi 30.2011. Zawadi hiyo imetolewa na watumishi wa Wizara ya Maji


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Maji baada ya kukabidhiwa zawadi ya picha yake iliyochorwa, ofisini kwake jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Wizara ya Maji, Jerryson Lwange akifuatiwa na katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Sayi.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Wizara ya Maji baada ya kukabidhiwa zawadi ya picha yake iliyochorwa iliyotolewa na wafanyakazi wa Wizara hiyo, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Machi 30, 2011. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Jerryson Lwenge na Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Sayi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Enhanced by Zemanta

GEITA DOCUMENTARY

Contributors