Wednesday, 6 July 2011

HAPPY BIRTHDAY GLORY





Leo o6/o7/2011 ni birthday ya mtoto Glory ametimiza miaka 5..... ur friend Titi and his bro Fini, kaka Revo na Mama Glory (Mhe.Vicky Kamata) wanakutakia BIRTHDAY NJEMA............ Api Birthday Gal

JK NA KAZI ZA MAENDELEO YA MIUNDOMBINU MKOANI KIGOMA

Rais Jakaya Kikwete na Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Joseph Simbakalia(kulia) wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kidahwe- Uvinza kwenye kijiji cha Kazuramimba.

MALIPO YA RADA KUJERESHWA

 Spika wa Bunge la Tanzania  Mhe.Anne Makinda(katikati) akipokea taarifa ya marejesho ya malipo ya rada kutoka kwa Naibu Spika Mhe. Job Ndugai(kulia) aliyeongoza timu ya wajumbe kwenda Uingereza kujadili marejesho hayo yatakavyofanyika. kushoto ni Mbunge wa Ilala Mhe. Azzan Zungu

Naibu Spika Mhe.Job Ndugai(aliye simama) akiongea na waandishi wa habari

AFRICAN TOUCH IN DAR




Ilikuwa Dar es Salaam Fashion Festival ambako kulikuwa na maonyesho ya fashion mbalimbali na hizi African Touch ni za hapa hapa bongo zimetengenezwa na watanzania.

Sunday, 26 June 2011

CELEBRATED PAN AFRICAN DESIGNER






Celebrated Pan African designer  who also is convener of East and Central Africa's biggest Fashion platform, Swahili fashion week, based in Dar es Salaam, Mustafa Hassanali participated in the first Dar Fashion Festival on 25 and 26 of June 2011.

“Being the leader in the Fashion and Creative Industry, Its of Paramount importance to be a role model for others to Emulate and Lead the way for the development of the East African Fashion Industry. We loud such initiatives which are also aimed at Empowering and enterprising Women but also create employment and growth of not only the creative sector but that of  the local economy.” Stated Mustafa Hassanali

GEITA DOCUMENTARY

Contributors