Mhariri mkuu wa Gazeti la Habari Leo Mr Joseph Kulangwa akisalimiana na Mh Vicky Kamata mara baada ya kuwasili katika ofisi za gazeti hilo.Pembeni ni baadhi ya waandishi wa gazeti hilo.

Mh Vicky Kamata akiwa katika picha ya pamoja na Bi Tuna Abdallah, na Ichikaeli Maro wa Daily News
No comments:
Post a Comment