PAGES

Wednesday, 27 June 2012

MABALOZI WAMUAGA DKT. ASHA ROSE MIGIRO




Mabalozi wa Afrika katika Umoja wa Mataifa wakimuaga Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayemaliza muda wake, Dkt Asha-Rose Migiro (mwenye kilemba katikati) , kwenye hafla iliyofanyika Washington Marekani, jana.



No comments:

Post a Comment